Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 10:3 - Swahili Revised Union Version

3 Naam, huyo mpumbavu tena, aendapo njiani, hupungukiwa na fahamu zake; hata humwambia kila mtu ya kuwa yeye ni mpumbavu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Hata apitapo njiani, mpumbavu hutambulikana hivyo, humjulisha kila mtu kwamba yeye ni mpumbavu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Hata apitapo njiani, mpumbavu hutambulikana hivyo, humjulisha kila mtu kwamba yeye ni mpumbavu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Hata apitapo njiani, mpumbavu hutambulikana hivyo, humjulisha kila mtu kwamba yeye ni mpumbavu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Hata anapotembea barabarani, mpumbavu hukosa ufahamu na kudhihirisha kwa kila mmoja jinsi alivyo mpumbavu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Hata anapotembea barabarani, mpumbavu hukosa ufahamu na kudhihirisha kwa kila mmoja jinsi alivyo mpumbavu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Naam, huyo mpumbavu tena, aendapo njiani, hupungukiwa na fahamu zake; hata humwambia kila mtu ya kuwa yeye ni mpumbavu.

Tazama sura Nakili




Mhubiri 10:3
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kila aliye na busara hutenda kazi kwa maarifa; Bali mpumbavu hueneza upumbavu.


Mpumbavu hapendezwi na ufahamu; Ila moyo wake udhihirike tu.


Midomo ya mpumbavu huingia katika fitina, Na kinywa chake huita mapigo.


Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno.


mambo ambayo wao huona kuwa ni ajabu ya ninyi kutokwenda mbio pamoja nao katika ufisadi ule ule usio na kiasi, wakiwatukana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo