Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 13:16 - Swahili Revised Union Version

16 Kila aliye na busara hutenda kazi kwa maarifa; Bali mpumbavu hueneza upumbavu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Mwenye busara hutenda kila kitu kwa akili, lakini mpumbavu hutembeza upumbavu wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Mwenye busara hutenda kila kitu kwa akili, lakini mpumbavu hutembeza upumbavu wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Mwenye busara hutenda kila kitu kwa akili, lakini mpumbavu hutembeza upumbavu wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Kila mwenye busara hutenda kwa maarifa, bali mpumbavu hudhihirisha upumbavu wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Kila mwenye busara hutenda kwa maarifa, bali mpumbavu hudhihirisha upumbavu wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Kila aliye na busara hutenda kazi kwa maarifa; Bali mpumbavu hueneza upumbavu.

Tazama sura Nakili




Methali 13:16
16 Marejeleo ya Msalaba  

Heri atendaye fadhili na kukopesha; Atengenezaye mambo yake kwa haki.


Hekima hukaa katika moyo wake mwenye ufahamu; Bali yaliyo ndani ya wapumbavu hudhihirika.


Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri; Bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu.


Mpumbavu hapendezwi na ufahamu; Ila moyo wake udhihirike tu.


Mwenye kiburi na kutakabari, jina lake ni mbishi; Hutenda mambo katika majivuno ya kiburi chake.


Mwanzo wa maneno ya kinywa chake ni upuuzi; na mwisho wa usemi wake ni wazimu wenye hatari.


Naam, huyo mpumbavu tena, aendapo njiani, hupungukiwa na fahamu zake; hata humwambia kila mtu ya kuwa yeye ni mpumbavu.


Tazama, mtumishi wangu atatenda kwa busara, atatukuzwa, na kuinuliwa juu, naye atakuwa juu sana.


Angalieni, mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwamwitu; basi iweni na busara kama nyoka, na kuwa watu wapole kama hua.


Maana utii wenu umewafikia watu wote; basi nafurahi kwa ajili yenu, lakini nataka ninyi kuwa wenye hekima katika mambo mema, na wasio na hatia katika mambo mabaya.


Ndugu zangu, msiwe watoto katika akili zenu; lakini katika uovu mgeuzwe watoto wachanga, bali katika akili zenu muwe watu wazima.


Kwa sababu hiyo msiwe wajinga, bali mfahamu ni nini yaliyo mapenzi ya Bwana.


Basi sasa ujue na kufikiri utakayotenda; kwa sababu yamekusudiwa mabaya juu ya bwana wetu, na juu ya nyumba yake yote; kwa kuwa yeye ni mtu asiyefaa kabisa, hata mtu hawezi kusema naye.


Nakusihi, bwana wangu, wewe usimwangalie huyu mtu asiyefaa, yaani Nabali; kwa maana kama lilivyo jina lake ndivyo alivyo yeye; jina lake ndilo Nabali, na upumbavu anao; lakini mimi, mjakazi wako, sikuwaona hao vijana wa bwana wangu aliowatuma.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo