Methali 13:16 - Swahili Revised Union Version16 Kila aliye na busara hutenda kazi kwa maarifa; Bali mpumbavu hueneza upumbavu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Mwenye busara hutenda kila kitu kwa akili, lakini mpumbavu hutembeza upumbavu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Mwenye busara hutenda kila kitu kwa akili, lakini mpumbavu hutembeza upumbavu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Mwenye busara hutenda kila kitu kwa akili, lakini mpumbavu hutembeza upumbavu wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Kila mwenye busara hutenda kwa maarifa, bali mpumbavu hudhihirisha upumbavu wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Kila mwenye busara hutenda kwa maarifa, bali mpumbavu hudhihirisha upumbavu wake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Kila aliye na busara hutenda kazi kwa maarifa; Bali mpumbavu hueneza upumbavu. Tazama sura |