Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 12:23 - Swahili Revised Union Version

23 Mwanadamu mwenye busara husitiri maarifa; Bali moyo wa wapumbavu hutangaza upumbavu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Mwenye busara huficha maarifa yake, lakini wapumbavu hutangaza upumbavu wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Mwenye busara huficha maarifa yake, lakini wapumbavu hutangaza upumbavu wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Mwenye busara huficha maarifa yake, lakini wapumbavu hutangaza upumbavu wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Mtu mwenye busara hujihifadhia maarifa yeye mwenyewe, bali moyo wa wapumbavu hububujika upumbavu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Mtu mwenye busara hujihifadhia maarifa yeye mwenyewe, bali moyo wa wapumbavu hububujika upumbavu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Mwanadamu mwenye busara husitiri maarifa; Bali moyo wa wapumbavu hutangaza upumbavu.

Tazama sura Nakili




Methali 12:23
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha nikaondoka usiku, mimi pamoja na watu wachache; wala sikumwambia mtu neno hili alilolitia Mungu wangu moyoni mwangu, nilitende kwa ajili ya Yerusalemu; wala hapakuwa na mnyama pamoja nami, ila mnyama yule niliyempanda mwenyewe.


Wala maofisa hawakujua nilikokwenda, wala niliyotenda; tena nilikuwa sijawaambia Wayahudi, makuhani, wakuu, maofisa, wala watu wengine waliokuwa wakiifanya kazi hiyo.


Watu wenye akili huweka akiba ya maarifa; Bali kinywa cha mpumbavu ni uangamivu ulio karibu.


Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na maovu; Bali yeye azuiaye midomo yake hufanya akili.


Mwenye udaku hupitapita akifunua siri; Bali mwenye roho ya uaminifu husitiri mambo.


Kila aliye na busara hutenda kazi kwa maarifa; Bali mpumbavu hueneza upumbavu.


Hekima hukaa katika moyo wake mwenye ufahamu; Bali yaliyo ndani ya wapumbavu hudhihirika.


Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri; Bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu.


Mpumbavu hapendezwi na ufahamu; Ila moyo wake udhihirike tu.


Mpumbavu hudhihirisha hasira yake yote; Bali mwenye hekima huizuia na kuituliza.


Naam, huyo mpumbavu tena, aendapo njiani, hupungukiwa na fahamu zake; hata humwambia kila mtu ya kuwa yeye ni mpumbavu.


Lakini Sauli akamjibu babaye mdogo, Alituambia waziwazi ya kuwa hao punda wamekwisha onekana. Lakini habari ya ufalme, ambayo Samweli alimwambia, hakuitaja.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo