Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 12:22 - Swahili Revised Union Version

22 Midomo ya uongo ni chukizo kwa BWANA; Bali watendao uaminifu ndio furaha yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Midomo isemayo uongo ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu, lakini watu waaminifu ni furaha yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Midomo isemayo uongo ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu, lakini watu waaminifu ni furaha yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Midomo isemayo uongo ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu, lakini watu waaminifu ni furaha yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Mwenyezi Mungu anachukia sana midomo idanganyayo, bali hufurahia watu ambao ni wa kweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 bwana anachukia sana midomo idanganyayo, bali hufurahia watu ambao ni wa kweli.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Midomo ya uongo ni chukizo kwa BWANA; Bali watendao uaminifu ndio furaha yake.

Tazama sura Nakili




Methali 12:22
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, Mimi nami ni nabii kama wewe, na malaika akaniambia kwa neno la BWANA, kusema, Mrudishe pamoja nawe nyumbani kwako, ale chakula, akanywe maji. Lakini alisema uongo.


Ee BWANA, uniponye Na midomo ya uongo na ulimi wa hila.


Utawaharibu wasemao uongo; BWANA humchukia mwuaji na mwenye hila


Mizani ya udanganyifu ni chukizo kwa BWANA; Bali vipimo vilivyo sawasawa humpendeza.


Wenye uhalifu moyoni ni chukizo kwa BWANA; Walio wakamilifu katika njia zao humpendeza.


Sadaka ya mtu mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali maombi ya mtu mnyofu ni furaha yake.


Maneno mazuri hayapendezi kinywani mwa mpumbavu; Sembuse midomo ya uongo kinywani mwa mkuu.


Mzee mwenye kuheshimiwa ndiye kichwa, na nabii afundishaye uongo ndiye mkia.


bali ajisifuye na ajisifu kwa sababu hii, ya kwamba ananifahamu mimi, na kunijua, ya kuwa mimi ni BWANA, nitendaye wema, na hukumu, na haki, katika nchi; maana mimi napendezwa na mambo hayo, asema BWANA,


Nanyi mmeninajisi kati ya watu wangu, kwa ajili ya makonzi ya shayiri na vipande vya mkate, ili kuziua roho za watu ambao haiwapasi kufa, na kuzihifadhi hai roho za watu ambao haikuwapasa kuwa hai, kwa kuwaambia uongo watu wangu wasikilizao uongo.


Kwa kuwa ninyi mmemhuzunisha moyo mwenye haki kwa uongo, ambaye mimi sikumhuzunisha; na kuitia nguvu mikono ya mtu mbaya, hata asigeuke, na kuiacha njia yake mbaya, na kuhifadhika;


Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.


Huko nje wako mbwa, na wachawi, na wazinzi, na wauaji, na hao waabuduo sanamu, na kila mtu apendaye uongo na kuufanya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo