Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 12:21 - Swahili Revised Union Version

21 Mwenye haki hatapatikana na msiba wowote; Bali wasio haki watajazwa mabaya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Waadilifu hawapatwi na jambo lolote baya, lakini waovu wamejaa dhiki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Waadilifu hawapatwi na jambo lolote baya, lakini waovu wamejaa dhiki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Waadilifu hawapatwi na jambo lolote baya, lakini waovu wamejaa dhiki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Hakuna dhara linalompata mwenye haki, bali waovu wana taabu nyingi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Hakuna dhara linalompata mwenye haki, bali waovu wana taabu nyingi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Mwenye haki hatapatikana na msiba wowote; Bali wasio haki watajazwa mabaya.

Tazama sura Nakili




Methali 12:21
17 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA atakulinda na mabaya yote, Atakulinda nafsi yako.


Mabaya hayatakupata wewe, Wala tauni haitaikaribia hema yako.


Kwa hiyo watakula matunda ya njia yao, Watashiba mashauri yao wenyewe.


Bali kila anisikilizaye atakaa salama, Naye atatulia bila kuogopa mabaya.


Hakika, mtu mwovu hatakosa adhabu; Bali wazawa wa wenye haki wataokoka.


Hila imo mioyoni mwao wafikirio uovu; Bali wafanyao mashauri ya amani, kwao kuna furaha.


Ageukaye moyoni hushiba njia zake mwenyewe; Na mtu mwema ataridhika nafsini mwake.


Kumcha BWANA huelekea uhai; Atakaa ameshiba; hatajiliwa na ubaya.


Ni vizuri kwamba ulishike neno hilo; naam, hata kwa neno hilo tena usiuondoe mkono wako; kwa kuwa mtu yule amchaye Mungu atatoka katika hayo yote.


Aishikaye amri hatajua neno baya; Na moyo wa mwenye hekima hujua wakati na hukumu.


Umejaa aibu badala ya utukufu; unywe nawe, uwe kama mtu asiyetahiriwa; kikombe cha mkono wa kulia wa BWANA kitageuzwa ukipokee, na aibu kuu itakuwa juu ya utukufu wako.


Nasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatia mema, yaani, wale walioitwa kwa kusudi lake.


Maana dhiki yetu nyepesi, iliyo ya muda mfupi tu, yatuandalia utukufu wa milele uzidio kuwa mwingi sana;


Naye ni nani atakayewadhuru, mkiwa wenye juhudi katika mema?


Mlipeni kama yeye alivyolipa, mkamlipe mara mbili kwa kadiri ya matendo yake. Katika kikombe kile alichokichanganyisha, mchanganyishieni mara mbili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo