Methali 12:21 - Swahili Revised Union Version21 Mwenye haki hatapatikana na msiba wowote; Bali wasio haki watajazwa mabaya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Waadilifu hawapatwi na jambo lolote baya, lakini waovu wamejaa dhiki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Waadilifu hawapatwi na jambo lolote baya, lakini waovu wamejaa dhiki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Waadilifu hawapatwi na jambo lolote baya, lakini waovu wamejaa dhiki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Hakuna dhara linalompata mwenye haki, bali waovu wana taabu nyingi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Hakuna dhara linalompata mwenye haki, bali waovu wana taabu nyingi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI21 Mwenye haki hatapatikana na msiba wowote; Bali wasio haki watajazwa mabaya. Tazama sura |