Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 13:6 - Swahili Revised Union Version

Haki humlinda yeye aliye mnyofu katika njia yake; Bali ubaya humwangusha mwenye dhambi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Uadilifu huwalinda wenye mwenendo mnyofu, lakini dhambi huwaangusha waovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Uadilifu huwalinda wenye mwenendo mnyofu, lakini dhambi huwaangusha waovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Uadilifu huwalinda wenye mwenendo mnyofu, lakini dhambi huwaangusha waovu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Haki humlinda mtu mwadilifu, bali uovu humwangusha mwenye dhambi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Haki humlinda mtu mwadilifu, bali uovu humwangusha mwenye dhambi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Haki humlinda yeye aliye mnyofu katika njia yake; Bali ubaya humwangusha mwenye dhambi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 13:6
14 Marejeleo ya Msalaba  

Sulemani Akasema, Akionekana kuwa mtu wa kweli, hata unywele wake mmoja hautaanguka chini; lakini uovu ukionekana ndani yake, atakufa.


Kila aliyetaka akamweka wakfu, ili wawepo makuhani wa mahali pa juu. Jambo hilo likawa dhambi kwa nyumba ya Yeroboamu, hata kuiharibu, na kuifuta usoni pa nchi.


Maana aliitolea dhabihu miungu ya Dameski iliyompiga, akasema, Kwa sababu miungu ya wafalme wa Shamu imewasaidia wao, mimi nitaitolea dhabihu, ili inisaidie mimi. Lakini ndiyo iliyomwangamiza yeye na Israeli wote.


Heri walio kamili njia zao, Waendao katika sheria ya BWANA.


Msingiziaji hatawekwa imara katika nchi, Mtu wa jeuri, uovu humwinda kumwangamiza.


Ni mtu aendaye kwa ukamilifu, Na kutenda haki. Asemaye kweli kwa moyo wake,


Ukamilifu na unyofu zinihifadhi, Maana nakungoja Wewe.


Ee BWANA, unihukumu mimi, Maana nimekwenda kwa ukamilifu wangu, Nami nimemtumaini BWANA bila wasiwasi.


Njia ya BWANA ni kimbilio lake mtu mkamilifu; Bali ni uharibifu kwao watendao maovu.


Wenye uhalifu moyoni ni chukizo kwa BWANA; Walio wakamilifu katika njia zao humpendeza.


Ukamilifu wao wenye haki utawaongoza Bali ukaidi wao wenye fitina utawaangamiza.


Mwenye haki huitafakari nyumba ya mtu mbaya; Jinsi wabaya waangushwavyo wakaangamia.


Maovu yake yeye yatampata mdhalimu, Naye atashikwa kwa kamba za dhambi zake.