Methali 13:6 - Swahili Revised Union Version6 Haki humlinda yeye aliye mnyofu katika njia yake; Bali ubaya humwangusha mwenye dhambi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Uadilifu huwalinda wenye mwenendo mnyofu, lakini dhambi huwaangusha waovu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Uadilifu huwalinda wenye mwenendo mnyofu, lakini dhambi huwaangusha waovu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Uadilifu huwalinda wenye mwenendo mnyofu, lakini dhambi huwaangusha waovu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Haki humlinda mtu mwadilifu, bali uovu humwangusha mwenye dhambi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Haki humlinda mtu mwadilifu, bali uovu humwangusha mwenye dhambi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Haki humlinda yeye aliye mnyofu katika njia yake; Bali ubaya humwangusha mwenye dhambi. Tazama sura |