Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 13:6 - Swahili Revised Union Version

6 Haki humlinda yeye aliye mnyofu katika njia yake; Bali ubaya humwangusha mwenye dhambi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Uadilifu huwalinda wenye mwenendo mnyofu, lakini dhambi huwaangusha waovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Uadilifu huwalinda wenye mwenendo mnyofu, lakini dhambi huwaangusha waovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Uadilifu huwalinda wenye mwenendo mnyofu, lakini dhambi huwaangusha waovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Haki humlinda mtu mwadilifu, bali uovu humwangusha mwenye dhambi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Haki humlinda mtu mwadilifu, bali uovu humwangusha mwenye dhambi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Haki humlinda yeye aliye mnyofu katika njia yake; Bali ubaya humwangusha mwenye dhambi.

Tazama sura Nakili




Methali 13:6
14 Marejeleo ya Msalaba  

Sulemani Akasema, Akionekana kuwa mtu wa kweli, hata unywele wake mmoja hautaanguka chini; lakini uovu ukionekana ndani yake, atakufa.


Kila aliyetaka akamweka wakfu, ili wawepo makuhani wa mahali pa juu. Jambo hilo likawa dhambi kwa nyumba ya Yeroboamu, hata kuiharibu, na kuifuta usoni pa nchi.


Maana aliitolea dhabihu miungu ya Dameski iliyompiga, akasema, Kwa sababu miungu ya wafalme wa Shamu imewasaidia wao, mimi nitaitolea dhabihu, ili inisaidie mimi. Lakini ndiyo iliyomwangamiza yeye na Israeli wote.


Heri walio kamili njia zao, Waendao katika sheria ya BWANA.


Msingiziaji hatawekwa imara katika nchi, Mtu wa jeuri, uovu humwinda kumwangamiza.


Ni mtu aendaye kwa ukamilifu, Na kutenda haki. Asemaye kweli kwa moyo wake,


Ukamilifu na unyofu zinihifadhi, Maana nakungoja Wewe.


Ee BWANA, unihukumu mimi, Maana nimekwenda kwa ukamilifu wangu, Nami nimemtumaini BWANA bila wasiwasi.


Njia ya BWANA ni kimbilio lake mtu mkamilifu; Bali ni uharibifu kwao watendao maovu.


Wenye uhalifu moyoni ni chukizo kwa BWANA; Walio wakamilifu katika njia zao humpendeza.


Ukamilifu wao wenye haki utawaongoza Bali ukaidi wao wenye fitina utawaangamiza.


Mwenye haki huitafakari nyumba ya mtu mbaya; Jinsi wabaya waangushwavyo wakaangamia.


Maovu yake yeye yatampata mdhalimu, Naye atashikwa kwa kamba za dhambi zake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo