Methali 10:29 - Swahili Revised Union Version29 Njia ya BWANA ni kimbilio lake mtu mkamilifu; Bali ni uharibifu kwao watendao maovu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Mwenyezi-Mungu ni ngome ya wanyofu, lakini watendao maovu atawaangamiza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Mwenyezi-Mungu ni ngome ya wanyofu, lakini watendao maovu atawaangamiza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Mwenyezi-Mungu ni ngome ya wanyofu, lakini watendao maovu atawaangamiza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Njia ya Mwenyezi Mungu ni kimbilio kwa wenye haki, lakini ni maangamizi ya wale watendao mabaya. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Njia ya bwana ni kimbilio kwa wenye haki, lakini ni maangamizi ya wale watendao mabaya. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI29 Njia ya BWANA ni kimbilio lake mtu mkamilifu; Bali ni uharibifu kwao watendao maovu. Tazama sura |