Methali 10:30 - Swahili Revised Union Version30 Mwenye haki hataondolewa milele; Bali wasio haki hawatakaa katika nchi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Waadilifu kamwe hawataondolewa nchini, lakini waovu hawatakaa katika nchi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Waadilifu kamwe hawataondolewa nchini, lakini waovu hawatakaa katika nchi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Waadilifu kamwe hawataondolewa nchini, lakini waovu hawatakaa katika nchi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Kamwe wenye haki hawataondolewa, bali waovu hawatasalia katika nchi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Kamwe wenye haki hawataondolewa, bali waovu hawatasalia katika nchi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI30 Mwenye haki hataondolewa milele; Bali wasio haki hawatakaa katika nchi. Tazama sura |