Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 13:21 - Swahili Revised Union Version

Uovu huwafuatia wenye dhambi; Bali mwenye haki atalipwa mema.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watendao dhambi huandamwa na balaa, lakini waadilifu watatuzwa mema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watendao dhambi huandamwa na balaa, lakini waadilifu watatuzwa mema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watendao dhambi huandamwa na balaa, lakini waadilifu watatuzwa mema.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Balaa humwandama mtenda dhambi, bali mafanikio ni thawabu kwa mwenye haki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Balaa humwandama mtenda dhambi, bali mafanikio ni thawabu kwa mwenye haki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Uovu huwafuatia wenye dhambi; Bali mwenye haki atalipwa mema.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 13:21
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kama ukitenda vyema, hutapata kibali? Usipotenda vyema dhambi iko, inakuotea mlangoni, nayo inakutamani wewe, lakini yapasa uishinde.


Msingiziaji hatawekwa imara katika nchi, Mtu wa jeuri, uovu humwinda kumwangamiza.


Naye mtu mwovu ana mapigo mengi, Bali amtumainiaye BWANA fadhili zitamzunguka.


Atawarudishia adui zangu ubaya wao; Uwaangamize kwa uaminifu wako.


Ikiwa, mwenye haki atalipwa duniani; Je, mwovu na mkosaji hawatalipwa mara nyingi zaidi?


Kila anayelidharau neno hujiletea uharibifu; Bali yeye anayeiogopa amri atapewa thawabu.


Yeye arudishaye mabaya badala ya mema, Mabaya hayataondoka nyumbani mwake.


Kwa maana mwenye haki huanguka mara saba akaondoka tena; Bali wasio haki hukwazwa na mabaya.


Kwa sababu hiyo uovu utakupata; wala hutaweza kuuagua; na msiba utakuangukia; hutaweza kuuondoa; na ukiwa usioujua utakupata kwa ghafla.


Bwana MUNGU asema hivi; Ni jambo baya, jambo baya la namna ya peke yake; angalia, linakuja.


Lakini kama hamtaki kufanya neno hilo, ninyi mmefanya dhambi mbele za BWANA, nanyi jueni ya kwamba hiyo dhambi yenu itawapata, hapana budi.


Wenyeji walipomwona yule nyoka akilewalewa mkononi, wakaambiana, Hakosi mtu huyu ni mwuaji; ambaye ijapokuwa ameokoka katika bahari haki haimwachi kuishi.