Methali 11:31 - Swahili Revised Union Version31 Ikiwa, mwenye haki atalipwa duniani; Je, mwovu na mkosaji hawatalipwa mara nyingi zaidi? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Ikiwa mwadilifu hupata tuzo hapa duniani, hakika mwovu na mwenye dhambi atapatilizwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Ikiwa mwadilifu hupata tuzo hapa duniani, hakika mwovu na mwenye dhambi atapatilizwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Ikiwa mwadilifu hupata tuzo hapa duniani, hakika mwovu na mwenye dhambi atapatilizwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Kama wenye haki watapokea ujira wao duniani, si zaidi sana mtu asiyemcha Mungu, na mwenye dhambi? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Kama wenye haki watapokea ujira wao duniani, si zaidi sana yule asiyemcha Mungu na mwenye dhambi? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI31 Ikiwa, mwenye haki atalipwa duniani; Je, mwovu na mkosaji hawatalipwa mara nyingi zaidi? Tazama sura |