Methali 11:30 - Swahili Revised Union Version30 Mazao ya mwenye haki ni mti wa uzima; Na mwenye hekima huvuta roho za watu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Matendo ya mwadilifu huleta uhai, lakini uhalifu huuondoa uhai. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Matendo ya mwadilifu huleta uhai, lakini uhalifu huuondoa uhai. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Matendo ya mwadilifu huleta uhai, lakini uhalifu huuondoa uhai. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Tunda la mwenye haki ni mti wa uzima, naye mwenye hekima huokoa maisha. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Tunda la mwenye haki ni mti wa uzima, naye mwenye hekima huvuta roho za watu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI30 Mazao ya mwenye haki ni mti wa uzima; Na mwenye hekima huvuta roho za watu. Tazama sura |