Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 11:30 - Swahili Revised Union Version

30 Mazao ya mwenye haki ni mti wa uzima; Na mwenye hekima huvuta roho za watu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Matendo ya mwadilifu huleta uhai, lakini uhalifu huuondoa uhai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Matendo ya mwadilifu huleta uhai, lakini uhalifu huuondoa uhai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Matendo ya mwadilifu huleta uhai, lakini uhalifu huuondoa uhai.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Tunda la mwenye haki ni mti wa uzima, naye mwenye hekima huokoa maisha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Tunda la mwenye haki ni mti wa uzima, naye mwenye hekima huvuta roho za watu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 Mazao ya mwenye haki ni mti wa uzima; Na mwenye hekima huvuta roho za watu.

Tazama sura Nakili




Methali 11:30
13 Marejeleo ya Msalaba  

Watazaa matunda hadi wakati wa uzee, Watajaa utomvu, watakuwa na ubichi.


Asiye haki hutamani nyavu za wabaya; Bali shina lao wenye haki huleta matunda.


Shahidi wa kweli huponya nafsi za watu; Bali atoaye uongo hudanganya.


Ulimi safi ni mti wa uzima; Bali ukorofi wa ulimi huvunja moyo.


Yeye ni mti wa uzima kwao wamshikao sana; Ana heri kila mtu anayeshikamana naye.


Na walio na hekima watang'aa kama mwangaza wa anga; na hao waongozao wengi kutenda haki watang'aa kama nyota milele na milele.


Akawaambia, Nifuateni, nami nitawafanya kuwa wavuvi wa watu.


Naye avunaye hupokea mshahara, na kukusanya matunda kwa uzima wa milele, ili yeye apandaye na yeye avunaye wapate kufurahi pamoja.


Maana tumaini letu, au furaha yetu, au taji la kujionea fahari, ni nini? Je! Si ninyi, mbele za Bwana wetu Yesu, wakati wa kuja kwake?


jueni ya kuwa yeye amrejeshaye mwenye dhambi hadi akatoka katika njia ya upotevu, ataokoa roho ya mwenye dhambi kutoka mauti, na kufunika wingi wa dhambi.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo