Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 11:29 - Swahili Revised Union Version

29 Ataabishaye nyumba yake mwenyewe ataurithi upepo; Mpumbavu atakuwa mtumwa wa mtu mwenye moyo wa akili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Anayeivunja nyumba yake ataambua upepo. Mpumbavu atakuwa mtumwa wa wenye hekima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Anayeivunja nyumba yake ataambua upepo. Mpumbavu atakuwa mtumwa wa wenye hekima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Anayeivunja nyumba yake ataambua upepo. Mpumbavu atakuwa mtumwa wa wenye hekima.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Yeye aletaye taabu kwa jamaa yake atarithi tu upepo, naye mpumbavu atakuwa mtumishi wa wenye hekima.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Yeye aletaye taabu kwa jamaa yake atarithi tu upepo, naye mpumbavu atakuwa mtumishi wa wenye hekima.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

29 Ataabishaye nyumba yake mwenyewe ataurithi upepo; Mpumbavu atakuwa mtumwa wa mtu mwenye moyo wa akili.

Tazama sura Nakili




Methali 11:29
10 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akawaambia Simeoni na Lawi, Mmenitaabisha, kunifanya ninuke vibaya kati ya watu wa nchi hii, Wakanaani na Waperizi; na mimi, kwa kuwa watu wangu ni haba, watanikusanyikia, na kunipiga, nami nitaangamizwa, mimi na nyumba yangu.


Wabaya huinama mbele ya wema, Na wasio haki malangoni mwao wenye haki.


Atamaniye faida huifadhaisha nyumba yake mwenyewe; Bali achukiaye zawadi ataishi.


Hiyo ndiyo balaa mbaya sana, ya kwamba kama vile alivyokuja, vivyo hivyo atakwenda zake; naye amefaidiwa nini mwenye kujitaabisha kwa ajili ya upepo?


Kwa maana wao hupanda upepo, nao watavuna tufani; nafaka haina bua; machipuko yake hayatoi masuke; hata ikiwa yatoa, wageni watayameza.


Basi sasa ujue na kufikiri utakayotenda; kwa sababu yamekusudiwa mabaya juu ya bwana wetu, na juu ya nyumba yake yote; kwa kuwa yeye ni mtu asiyefaa kabisa, hata mtu hawezi kusema naye.


Na jina la mtu huyo aliitwa Nabali; na jina la mkewe aliitwa Abigaili, na huyo mwanamke alikuwa mwenye akili njema, mzuri wa uso; bali yule mwanamume alikuwa mkosa adabu na mwovu; naye alikuwa wa ukoo wa Kalebu.


Tena ikawa, yapata siku kumi baadaye, BWANA alimpiga huyo Nabali, hadi akafa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo