Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 11:28 - Swahili Revised Union Version

28 Azitegemeaye mali zake ataanguka; Mwenye haki atasitawi kama jani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Anayetegemea mali zake ataanguka, lakini mwadilifu atastawi kama jani bichi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Anayetegemea mali zake ataanguka, lakini mwadilifu atastawi kama jani bichi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Anayetegemea mali zake ataanguka, lakini mwadilifu atastawi kama jani bichi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Yeyote ategemeaye utajiri wake ataanguka, bali mwenye haki atastawi kama jani bichi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Yeyote ategemeaye utajiri wake ataanguka, bali mwenye haki atastawi kama jani bichi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Azitegemeaye mali zake ataanguka; Mwenye haki atasitawi kama jani.

Tazama sura Nakili




Methali 11:28
13 Marejeleo ya Msalaba  

Naye atakuwa kama mti uliopandwa Kandokando ya vijito vya maji, Uzaao matunda yake kwa majira yake, Wala jani lake halinyauki; Na kila alitendalo litafanikiwa.


Ambao wanazitumainia mali zao, Na kujisifia wingi wa utajiri wao;


Msiitumainie dhuluma, Wala msijivune kwa unyang'anyi; Mali izidipo msiiangalie sana moyoni.


Mali ya tajiri ndio ngome yake; Ufukara wa maskini ndio umwangamizao.


Watu wako nao watakuwa wenye haki wote, Nao watairithi nchi milele; Wao ni chipukizi nililolipanda mimi mwenyewe, Kazi ya mikono yangu mwenyewe, Ili mimi nitukuzwe.


Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, Uenezao mizizi yake karibu na mto; Hautaona hofu wakati wa joto ujapo, Bali jani lake litakuwa bichi; Wala hautahangaika mwaka wa uchache wa mvua, Wala hautaacha kuzaa matunda.


Lakini Mungu akamwambia, Mpumbavu wewe, usiku huu wa leo wanataka roho yako! Na vitu ulivyojiwekea tayari vitakuwa vya nani?


Walio matajiri wa ulimwengu wa sasa uwaagize wasijivune, wala wasiutumainie utajiri usio yakini, bali wamtumaini Mungu atupaye vitu vyote kwa wingi ili tuvitumie kwa furaha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo