Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 11:27 - Swahili Revised Union Version

27 Atafutaye mema kwa bidii hutafuta fadhili; Atafutaye madhara, hayo yatamjia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Atafutaye kutenda mema hupata fadhili, lakini atafutaye kutenda maovu atapatwa na maovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Atafutaye kutenda mema hupata fadhili, lakini atafutaye kutenda maovu atapatwa na maovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Atafutaye kutenda mema hupata fadhili, lakini atafutaye kutenda maovu atapatwa na maovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Yeye atafutaye mema hupata ukarimu, bali ubaya huja kwake yeye autafutaye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Yeye atafutaye mema hupata ukarimu, bali ubaya huja kwake yeye autafutaye.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

27 Atafutaye mema kwa bidii hutafuta fadhili; Atafutaye madhara, hayo yatamjia.

Tazama sura Nakili




Methali 11:27
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakamtundika Hamani juu ya mti aliomwekea tayari Mordekai. Ghadhabu ya mfalme ikatulia.


Kwa kiburi chake asiye haki mnyonge anafuatiwa kwa ukali; Na wanaswe kwa hila zizo hizo walizoziwaza.


Wameweka wavu ili kuninasa miguu; Nimevunjika moyo; Wamechimba shimo njiani mwangu; Lakini wao wenyewe wametumbukia humo!


Mtu mwovu hataki neno ila kuasi tu; Kwa hiyo mjumbe mkali atatumwa kwake.


Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa; Maana huwapa maskini chakula chake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo