Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 11:26 - Swahili Revised Union Version

26 Awanyimaye watu nafaka, watu watamlaani; Auzaye nafaka, baraka itakuwa kichwani pake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Watu humlaani afichaye nafaka, lakini humtakia baraka mwenye kuiuza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Watu humlaani afichaye nafaka, lakini humtakia baraka mwenye kuiuza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Watu humlaani afichaye nafaka, lakini humtakia baraka mwenye kuiuza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Watu humlaani mtu awanyimae watu nafaka, bali baraka itamkalia kichwani kama taji yeye aliye radhi kuiuza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Watu humlaani mtu awanyimae watu nafaka, bali baraka itamkalia kichwani kama taji yeye aliye radhi kuiuza.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Awanyimaye watu nafaka, watu watamlaani; Auzaye nafaka, baraka itakuwa kichwani pake.

Tazama sura Nakili




Methali 11:26
7 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yusufu alikuwa ni mkuu juu ya nchi, ndiye aliyewauzia watu wote wa nchi. Nao ndugu zake Yusufu wakaja, wakainama kifudifudi mbele yake.


Yusufu akakusanya fedha zote zilizoonekana katika nchi ya Misri na katika nchi ya Kanaani, kwa nafaka waliyoinunua. Yusufu akazileta zile fedha nyumbani mwa Farao.


Baraka yake yeye aliyekuwa karibu na kupotea ilinijia; Nikaufanya moyo wa mjane kuimba kwa furaha.


Baraka humkalia mwenye haki kichwani; Bali jeuri hufunika kinywa chake mtu mwovu.


Amwambiaye mtu mwovu, Wewe una haki; Makabila ya watu watamlaani, taifa watamchukia.


Mwenye kuwagawia maskini hatahitaji kitu; Bali afichaye macho yake atakuwa na laana nyingi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo