Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 11:25 - Swahili Revised Union Version

25 Nafsi ya mtu mkarimu itastawishwa; Anyweshaye atanyweshwa mwenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Mtu mkarimu atafanikishwa, amnyweshaye mwingine maji naye atanyweshwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Mtu mkarimu atafanikishwa, amnyweshaye mwingine maji naye atanyweshwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Mtu mkarimu atafanikishwa, amnyweshaye mwingine maji naye atanyweshwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Mtu mkarimu atastawi; yeye awaburudishaye wengine ataburudishwa mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Mtu mkarimu atastawi; yeye awaburudishaye wengine ataburudishwa mwenyewe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Nafsi ya mtu mkarimu itastawishwa; Anyweshaye atanyweshwa mwenyewe.

Tazama sura Nakili




Methali 11:25
13 Marejeleo ya Msalaba  

wakaleta magodoro, na mabakuli, na vyungu, na ngano, na shayiri, na unga, na bisi, na kunde, na dengu,


Kuna atawanyaye, lakini huongezewa zaidi; Kuna azuiaye isivyo haki, lakini huelekea uhitaji.


Mwenye nafsi ya kutamani huchochea fitina; Bali amtumainiye BWANA ataneemeshwa.


Mwenye kuwagawia maskini hatahitaji kitu; Bali afichaye macho yake atakuwa na laana nyingi.


Ndipo ghala zako zitakapojazwa kwa wingi, Na vyombo vyako vitafurika divai mpya.


Mheshimu BWANA kwa mali yako, Na kwa malimbuko ya mazao yako yote.


Bali muungwana huwaza mambo ya kiungwana, naye hushika sana mambo ya kiungwana.


Heri wenye rehema; Maana hao watapata rehema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo