Methali 24:16 - Swahili Revised Union Version16 Kwa maana mwenye haki huanguka mara saba akaondoka tena; Bali wasio haki hukwazwa na mabaya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 maana mtu mwema huanguka mara nyingi lakini huinuka, lakini mtu mwovu huangamizwa na janga. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 maana mtu mwema huanguka mara nyingi lakini huinuka, lakini mtu mwovu huangamizwa na janga. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 maana mtu mwema huanguka mara nyingi lakini huinuka, lakini mtu mwovu huangamizwa na janga. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 kwa maana ingawa mtu mwenye haki huanguka mara saba, huinuka tena; lakini waovu huangushwa chini na maafa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Kwa maana ingawa mtu mwenye haki huanguka mara saba, huinuka tena, lakini waovu huangushwa chini na maafa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Kwa maana mwenye haki huanguka mara saba akaondoka tena; Bali wasio haki hukwazwa na mabaya. Tazama sura |