Hesabu 32:23 - Swahili Revised Union Version23 Lakini kama hamtaki kufanya neno hilo, ninyi mmefanya dhambi mbele za BWANA, nanyi jueni ya kwamba hiyo dhambi yenu itawapata, hapana budi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Lakini nawaonyeni kwamba msipotimiza ahadi yenu, mtakuwa mnamtendea Mwenyezi-Mungu dhambi; jueni kwa hakika kwamba mtaadhibiwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Lakini nawaonyeni kwamba msipotimiza ahadi yenu, mtakuwa mnamtendea Mwenyezi-Mungu dhambi; jueni kwa hakika kwamba mtaadhibiwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Lakini nawaonyeni kwamba msipotimiza ahadi yenu, mtakuwa mnamtendea Mwenyezi-Mungu dhambi; jueni kwa hakika kwamba mtaadhibiwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 “Lakini mkishindwa kufanya hili, mtakuwa mnatenda dhambi dhidi ya Mwenyezi Mungu; nanyi kuweni na hakika kuwa dhambi yenu itawapata. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 “Lakini mkishindwa kufanya hili, mtakuwa mnatenda dhambi dhidi ya bwana; nanyi kuweni na hakika kuwa dhambi yenu itawapata. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI23 Lakini kama hamtaki kufanya neno hilo, ninyi mmefanya dhambi mbele za BWANA, nanyi jueni ya kwamba hiyo dhambi yenu itawapata, hapana budi. Tazama sura |