Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 12:24 - Swahili Revised Union Version

Mkono wa mwenye bidii utatawala; Bali mvivu atalipishwa kodi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kuwa na bidii kutampa mtu cheo, lakini uvivu utamfanya mtumwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kuwa na bidii kutampa mtu cheo, lakini uvivu utamfanya mtumwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kuwa na bidii kutampa mtu cheo, lakini uvivu utamfanya mtumwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mikono yenye bidii itatawala, bali uvivu huishia katika kazi za utumwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mikono yenye bidii itatawala, bali uvivu huishia katika kazi za utumwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mkono wa mwenye bidii utatawala; Bali mvivu atalipishwa kodi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 12:24
15 Marejeleo ya Msalaba  

Akaona mahali pa raha, kuwa pema, Na nchi, ya kuwa ni nzuri, Akainama bega lake lichukue mizigo, Akawa mtumishi kwa kazi ngumu.


Na huyo Yeroboamu alikuwa mtu hodari, shujaa; Sulemani akaona ya kuwa kijana huyo ni mtu mwenye bidii, akamweka juu ya kazi yote ya nyumba ya Yusufu.


Ikawa, Israeli wote waliposikia ya kwamba Yeroboamu amerudi, wakapeleka watu wakamwita aje mkutanoni, wakamfanya mfalme juu ya Israeli wote; wala hapakuwa na mtu aliyeshikamana na nyumba ya Daudi, ila kabila la Yuda peke yake.


watoto wao waliosalia baada yao katika nchi, ambao wana wa Israeli hawakuweza kuwaharibu kabisa, katika hao Sulemani akawatumikisha shokoa hata leo.


Atendaye mambo kwa mkono mlegevu huwa maskini; Bali mkono wake aliye na bidii hutajirisha.


Mtu mvivu hapiki mawindo yake; Bali mwenye bidii anazo mali za thamani.


Nafsi ya mtu mvivu hutamani asipate kitu; Bali nafsi ya mwenye bidii itanenepeshwa.


Mtumwa atendaye kwa busara atamtawala mwana atendaye mambo ya aibu; Tena atapata sehemu ya urithi kati ya ndugu.


Uvivu humtia mtu katika usingizi mzito; Na nafsi yake mvivu itaona njaa.


Mtu mvivu husema, Simba yuko nje; Nitauawa katika njia kuu.


Je! Wamwona mtu mwenye bidii katika kazi zake? Huyo atasimama mbele ya wafalme; Hatasimama mbele ya watu wasio na cheo.


Kisha ikawa, hapo Israeli walipokuwa wamepata nguvu, ndipo walipowatia hao Wakanaani katika kazi ya shokoa, wala hawakuwafukuza kabisa.