Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 12:25 - Swahili Revised Union Version

25 Uzito katika moyo wa mtu huuinamisha; Bali neno jema huufurahisha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Wasiwasi moyoni humkosesha mtu raha, lakini neno jema humchangamsha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Wasiwasi moyoni humkosesha mtu raha, lakini neno jema humchangamsha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Wasiwasi moyoni humkosesha mtu raha, lakini neno jema humchangamsha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Moyo wa wasiwasi humlemea mtu, bali neno la fadhili humfurahisha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Moyo wa wasiwasi humlemea mtu, bali neno la huruma humfurahisha.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Uzito katika moyo wa mtu huuinamisha; Bali neno jema huufurahisha.

Tazama sura Nakili




Methali 12:25
19 Marejeleo ya Msalaba  

Nimejipinda na kuinama sana, Mchana kutwa ninaenda nikiomboleza.


Nafsi yangu, kwa nini kuinama, Na kufadhaika ndani yangu? Umtumaini Mungu; Kwa maana nitakuja kumsifu, Aliye afya ya uso wangu, Na Mungu wangu.


Kuna anenaye bila kufikiri, kama kuchoma kwa upanga; Bali ulimi wa mwenye haki ni afya.


Mwenye haki ni kiongozi wa mwenzake; Bali njia ya wasio haki huwakosesha.


Moyo huujua uchungu wa nafsi yake, Wala mgeni haishiriki furaha yake.


Moyo wa furaha huchangamsha uso; Bali kwa huzuni ya moyo roho hupondeka.


Siku zote za mtu ateswaye ni mbaya; Bali ukunjufu wa moyo ni karamu ya daima.


Mtu hulifurahia jibu la kinywa chake; Na neno linenwalo wakati wa kufaa ni jema kama nini!


Mng'ao wa macho huufurahisha moyo; Habari njema huinenepesha mifupa.


Maneno yapendezayo ni kama sega la asali; Ni tamu nafsini, na afya mifupani.


Moyo uliochangamka ni dawa nzuri; Bali roho iliyopondeka huikausha mifupa.


Roho ya mtu itastahimili udhaifu wake; Bali roho iliyovunjika nani awezaye kuistahimili?


Neno linenwalo wakati ufaao, Ni kama machungwa katika vyano vya fedha.


Marhamu na manukato huufurahisha moyo; Kadhalika utamu wa rafiki ya mtu utokao katika kusudi la moyo wake.


Bwana MUNGU amenipa ulimi wa hao wafundishwao, nipate kujua jinsi ya kumtegemeza kwa maneno yeye aliyechoka, huniamsha asubuhi baada ya asubuhi; huniamsha, sikio langu lipate kusikia kama watu wafundishwao.


Naye BWANA akamjibu yule malaika aliyesema nami kwa maneno mazuri, maneno yenye faraja.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo