Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 12:26 - Swahili Revised Union Version

26 Mwenye haki ni kiongozi wa mwenzake; Bali njia ya wasio haki huwakosesha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Mtu mwadilifu huuepa uovu, lakini njia ya waovu huwapotosha wenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Mtu mwadilifu huuepa uovu, lakini njia ya waovu huwapotosha wenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Mtu mwadilifu huuepa uovu, lakini njia ya waovu huwapotosha wenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Mtu mwenye haki ni mwangalifu katika urafiki, bali njia ya waovu huwapotosha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Mtu mwenye haki ni mwangalifu katika urafiki, bali njia ya waovu huwapotosha.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Mwenye haki ni kiongozi wa mwenzake; Bali njia ya wasio haki huwakosesha.

Tazama sura Nakili




Methali 12:26
16 Marejeleo ya Msalaba  

Nao watakatifu waliopo duniani, ndio Walio bora, Hao ndio niliopendezwa nao.


Katika kosa la midomo kuna mtego kwa mbaya; Bali mwenye haki atatoka katika taabu.


Uzito katika moyo wa mtu huuinamisha; Bali neno jema huufurahisha.


Mtu mvivu hapiki mawindo yake; Bali mwenye bidii anazo mali za thamani.


Je! Hawakosi wawazao mabaya? Bali fadhili na kweli zina wao wawazao mema.


Mtu mkali humshawishi mwenzake; Humwongoza katika njia isiyo njema.


Azuiaye maneno yake ni mwenye maarifa; Na mwenye roho ya utulivu ana busara.


Nimewaandikia haya kuhusu habari za watu wale wanaotaka kuwapoteza.


Lile joka kuu likatupwa, yule nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika wake wakatupwa pamoja naye.


Naye awakosesha wale wakaao juu ya nchi, kwa ishara zile alizopewa kuzifanya mbele ya huyo mnyama, akiwaambia wakaao juu ya nchi kumfanyia sanamu yule mnyama, aliyekuwa na jeraha la upanga naye akaishi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo