Methali 12:26 - Swahili Revised Union Version26 Mwenye haki ni kiongozi wa mwenzake; Bali njia ya wasio haki huwakosesha. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Mtu mwadilifu huuepa uovu, lakini njia ya waovu huwapotosha wenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Mtu mwadilifu huuepa uovu, lakini njia ya waovu huwapotosha wenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Mtu mwadilifu huuepa uovu, lakini njia ya waovu huwapotosha wenyewe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Mtu mwenye haki ni mwangalifu katika urafiki, bali njia ya waovu huwapotosha. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Mtu mwenye haki ni mwangalifu katika urafiki, bali njia ya waovu huwapotosha. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI26 Mwenye haki ni kiongozi wa mwenzake; Bali njia ya wasio haki huwakosesha. Tazama sura |