Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 10:20 - Swahili Revised Union Version

Ulimi wa mwenye haki ni kama fedha safi; Moyo wa mtu mbaya haufai kitu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maneno ya mwadilifu ni kama fedha bora; akili ya mtu mwovu haina thamani yoyote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maneno ya mwadilifu ni kama fedha bora; akili ya mtu mwovu haina thamani yoyote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maneno ya mwadilifu ni kama fedha bora; akili ya mtu mwovu haina thamani yoyote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ulimi wa mwenye haki ni fedha iliyo bora, bali moyo wa mwovu una thamani ndogo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ulimi wa mwenye haki ni fedha iliyo bora, bali moyo wa mwovu una thamani ndogo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ulimi wa mwenye haki ni kama fedha safi; Moyo wa mtu mbaya haufai kitu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 10:20
12 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu siku zote.


BWANA akasikia harufu ya kumridhisha; BWANA akasema moyoni, Sitailaani nchi tena baada ya hayo kwa sababu ya wanadamu, maana mawazo ya moyo wa mwanadamu ni mabaya tangu ujana wake; wala sitapiga tena baada ya hayo kila kilicho hai kama nilivyofanya. 1


Kinywa chake mwenye haki hunena hekima, Na ulimi wake husema hukumu.


Kuna anenaye bila kufikiri, kama kuchoma kwa upanga; Bali ulimi wa mwenye haki ni afya.


Ulimi safi ni mti wa uzima; Bali ukorofi wa ulimi huvunja moyo.


Midomo ya haki ni furaha ya wafalme; Nao humpenda yeye asemaye yaliyo sawa.


Dhahabu iko, na marijani tele; Lakini midomo ya maarifa ni kito cha thamani.


Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.


Matunda yangu ni bora kuliko dhahabu, naam, dhahabu safi, Na faida yangu ni bora kuliko fedha iliyo safi.


Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua?