Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 8:19 - Swahili Revised Union Version

19 Matunda yangu ni bora kuliko dhahabu, naam, dhahabu safi, Na faida yangu ni bora kuliko fedha iliyo safi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Matunda yangu ni mazuri kuliko dhahabu safi, faida yangu yashinda ile ya fedha bora.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Matunda yangu ni mazuri kuliko dhahabu safi, faida yangu yashinda ile ya fedha bora.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Matunda yangu ni mazuri kuliko dhahabu safi, faida yangu yashinda ile ya fedha bora.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Tunda langu ni bora kuliko dhahabu safi; kile ninachotoa hupita fedha iliyo bora.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Tunda langu ni bora kuliko dhahabu safi; kile nitoacho hupita fedha iliyo bora.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Matunda yangu ni bora kuliko dhahabu, naam, dhahabu safi, Na faida yangu ni bora kuliko fedha iliyo safi.

Tazama sura Nakili




Methali 8:19
8 Marejeleo ya Msalaba  

Haipatikani kwa dhahabu, Wala fedha haitapimwa iwe thamani yake.


Yakuti ya rangi ya manjano ya Kushi haitasawazishwa nayo, Wala haitatiwa kima kwa dhahabu safi.


Ulimi wa mwenye haki ni kama fedha safi; Moyo wa mtu mbaya haufai kitu.


Si afadhali kupata hekima kuliko dhahabu? Naam, yafaa kuchagua ufahamu kuliko fedha.


Maana biashara yake ni bora kuliko biashara ya fedha, Na faida yake ni nyingi kuliko dhahabu safi.


Pokea mafundisho yangu, wala si fedha, Na maarifa kuliko dhahabu safi.


Natembea katika njia ya haki, Katikati ya mapito ya hukumu.


Kwa maana ulinzi wa hekima ni kama ulinzi wa fedha na ubora wa maarifa ni kwamba hekima humhifadhi yeye aliye nayo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo