Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 8:20 - Swahili Revised Union Version

20 Natembea katika njia ya haki, Katikati ya mapito ya hukumu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Natembea katika njia ya uadilifu; ninafuata njia za haki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Natembea katika njia ya uadilifu; ninafuata njia za haki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Natembea katika njia ya uadilifu; ninafuata njia za haki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Natembea katika njia ya unyofu katika mapito ya haki,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Natembea katika njia ya unyofu katika mapito ya haki,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Natembea katika njia ya haki, Katikati ya mapito ya hukumu.

Tazama sura Nakili




Methali 8:20
18 Marejeleo ya Msalaba  

Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.


Nitakufundisha na kukuonesha njia utakayoiendea; Nitakushauri, jicho langu likikutazama.


Ili upate kwenda katika njia ya watu wema, Na kuyashika mapito ya wenye haki.


Ndipo utakapofahamu haki na hukumu, Na adili, na kila njia njema.


Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako.


Uendapo yatakuongoza, ulalapo yatakulinda, Na uamkapo yatazungumza nawe.


Matunda yangu ni bora kuliko dhahabu, naam, dhahabu safi, Na faida yangu ni bora kuliko fedha iliyo safi.


Niwarithishe mali wale wanipendao, Tena nipate kuzijaza hazina zao.


Na mataifa mengi watakwenda na kusema, Njoni, twende juu mlimani kwa BWANA, nyumbani kwa Mungu wa Yakobo, naye atatufundisha njia zake, nasi tutakwenda katika mapito yake maana katika Sayuni itatoka sheria, na neno la BWANA katika Yerusalemu.


Hawataona njaa, wala hawataona kiu; joto halitawapiga, wala jua; kwa maana yeye aliyewarehemu atawatangulia, naam, karibu na chemchemi za maji atawaongoza.


Angalieni, nimemweka kuwa shahidi kwa makabila ya watu; kuwa kiongozi na jemadari kwa makabila ya watu.


Bawabu humfungulia huyo, na kondoo humsikia sauti yake; naye huwaita kondoo wake kwa majina yao, na kuwapeleka nje.


Tunzeni basi, mtende kama mlivyoamriwa na BWANA, Mungu wenu; msikengeuke kwa mkono wa kulia wala wa kushoto.


Kwa maana huyo Mwana-kondoo, aliye katikati ya kiti cha enzi, atawachunga, naye atawaongoza kwenye chemchemi za maji yenye uhai, na Mungu atayafuta machozi yote katika macho yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo