Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 16:13 - Swahili Revised Union Version

13 Midomo ya haki ni furaha ya wafalme; Nao humpenda yeye asemaye yaliyo sawa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Mfalme hupendelea mtu asemaye kwa unyofu; humpenda mtu asemaye ukweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Mfalme hupendelea mtu asemaye kwa unyofu; humpenda mtu asemaye ukweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Mfalme hupendelea mtu asemaye kwa unyofu; humpenda mtu asemaye ukweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Wafalme hufurahia midomo ya uaminifu; humthamini mtu asemaye kweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Wafalme hufurahia midomo ya uaminifu; humthamini mtu asemaye kweli.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Midomo ya haki ni furaha ya wafalme; Nao humpenda yeye asemaye yaliyo sawa.

Tazama sura Nakili




Methali 16:13
5 Marejeleo ya Msalaba  

Upendeleo wa mfalme humwelekea mtumwa atendaye kwa busara; Bali hasira yake itakuwa juu yake aletaye aibu.


Wafalme wakitenda yasiyo haki ni chukizo; Maana kiti cha enzi huthibitika kwa haki.


Hasira ya mfalme ni kama wajumbe wa mauti; Lakini mtu mwenye hekima ataituliza.


Apendaye usafi wa moyo, na neema ya midomo; Mfalme atakuwa rafiki yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo