Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 16:12 - Swahili Revised Union Version

12 Wafalme wakitenda yasiyo haki ni chukizo; Maana kiti cha enzi huthibitika kwa haki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Ni chukizo kubwa wafalme kutenda uovu, maana msingi wa mamlaka yao ni haki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Ni chukizo kubwa wafalme kutenda uovu, maana msingi wa mamlaka yao ni haki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Ni chukizo kubwa wafalme kutenda uovu, maana msingi wa mamlaka yao ni haki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Wafalme huchukia sana kutenda maovu, kwa maana kiti cha ufalme hufanywa imara kupitia haki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Wafalme huchukia sana kutenda maovu, kwa maana kiti cha ufalme hufanywa imara kwa njia ya haki.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Wafalme wakitenda yasiyo haki ni chukizo; Maana kiti cha enzi huthibitika kwa haki.

Tazama sura Nakili




Methali 16:12
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo BWANA akauthibitisha ufalme mkononi mwake; Yehoshafati akaletewa zawadi na watu wote wa Yuda; basi akawa na mali na heshima tele.


Mfalme mkuu upendaye hukumu kwa haki; Umeiimarisha haki; Umefanya hukumu na haki katika Israeli.


Midomo ya haki ni furaha ya wafalme; Nao humpenda yeye asemaye yaliyo sawa.


Kila kusudi huthibitika kwa kushauriana; Na kwa shauri la akili fanya vita.


Mwondoe asiye haki mbele ya mfalme, Na kiti chake cha enzi kitathibitika katika haki.


Yeye aligeuzaye sikio lake asiisikie sheria, Hata sala yake ni chukizo.


Mfalme awahukumuye maskini kwa uaminifu; Kiti chake cha enzi kitathibitika milele.


Mfalme huithibitisha nchi kwa hukumu; Bali yeye apokeaye rushwa huipindua.


Na yule asiyejua, naye amefanya yastahiliyo mapigo, atapigwa kidogo. Na kila aliyepewa vingi, kwake huyo vitatakwa vingi; naye waliyemwekea amana vitu vingi, kwake huyo watataka na zaidi.


Kwa kuwa wote wayatendao mambo kama haya, wote watendao yasiyo haki, ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako.


Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi mweupe, na yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa kweli, naye kwa haki ahukumu na kufanya vita.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo