Methali 16:12 - Swahili Revised Union Version12 Wafalme wakitenda yasiyo haki ni chukizo; Maana kiti cha enzi huthibitika kwa haki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Ni chukizo kubwa wafalme kutenda uovu, maana msingi wa mamlaka yao ni haki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Ni chukizo kubwa wafalme kutenda uovu, maana msingi wa mamlaka yao ni haki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Ni chukizo kubwa wafalme kutenda uovu, maana msingi wa mamlaka yao ni haki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Wafalme huchukia sana kutenda maovu, kwa maana kiti cha ufalme hufanywa imara kupitia haki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Wafalme huchukia sana kutenda maovu, kwa maana kiti cha ufalme hufanywa imara kwa njia ya haki. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Wafalme wakitenda yasiyo haki ni chukizo; Maana kiti cha enzi huthibitika kwa haki. Tazama sura |