Methali 10:19 - Swahili Revised Union Version19 Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na maovu; Bali yeye azuiaye midomo yake hufanya akili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Penye maneno mengi hapakosekani makosa, lakini aneyeuzuia ulimi wake ana busara. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Penye maneno mengi hapakosekani makosa, lakini aneyeuzuia ulimi wake ana busara. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Penye maneno mengi hapakosekani makosa, lakini aneyeuzuia ulimi wake ana busara. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Dhambi haiondolewi kwa maneno mengi, bali wenye busara huzuia ulimi wao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Wakati maneno ni mengi, dhambi haikosekani, lakini yeye ambaye huzuia ulimi wake ni mwenye busara. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI19 Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na maovu; Bali yeye azuiaye midomo yake hufanya akili. Tazama sura |