Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 10:19 - Swahili Revised Union Version

19 Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na maovu; Bali yeye azuiaye midomo yake hufanya akili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Penye maneno mengi hapakosekani makosa, lakini aneyeuzuia ulimi wake ana busara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Penye maneno mengi hapakosekani makosa, lakini aneyeuzuia ulimi wake ana busara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Penye maneno mengi hapakosekani makosa, lakini aneyeuzuia ulimi wake ana busara.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Dhambi haiondolewi kwa maneno mengi, bali wenye busara huzuia ulimi wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Wakati maneno ni mengi, dhambi haikosekani, lakini yeye ambaye huzuia ulimi wake ni mwenye busara.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na maovu; Bali yeye azuiaye midomo yake hufanya akili.

Tazama sura Nakili




Methali 10:19
13 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Huu wingi wa maneno usijibiwe? Na mtu aliyejaa maneno, je! Ahesabiwe kuwa na haki?


Nilisema, Nitazitunza njia zangu Nisije nikakosa kwa ulimi wangu; Nitajitia lijamu kinywani, Maadamu mtu mbaya awapo mbele yangu.


Asiye na akili humdharau mwenziwe; Bali mtu aliye na ufahamu hunyamaza.


Mwenye udaku hupitapita akifunua siri; Bali mwenye roho ya uaminifu husitiri mambo.


Mwanadamu mwenye busara husitiri maarifa; Bali moyo wa wapumbavu hutangaza upumbavu.


Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.


Jitunze mguu wako uendapo nyumbani kwa Mungu; Maana ni heri kukaribia ili usikie, Kuliko kutoa kafara ya wapumbavu; Ambao hawajui kuwa wafanya mabaya.


Usiseme maneno ya ujinga kwa kinywa chako, wala moyo wako usiwe na haraka kunena mbele za Mungu; kwa maana, Mungu yuko mbinguni, na wewe upo chini, Kwa hiyo maneno yako na yawe machache.


Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno.


Hayo mnajua, ndugu zangu wapenzi. Basi kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika;


Maana twajikwaa sisi sote pia katika mambo mengi. Mtu asiyejikwaa katika kunena, huyo ni mtu mkamilifu, awezaye kuuzuia na mwili wake wote kama kwa lijamu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo