Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 10:18 - Swahili Revised Union Version

18 Yeye afichaye chuki ana midomo ya uongo, Na yeye asingiziaye ni mpumbavu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Amchukiaye mwingine kwa siri ni mnafiki, anayemsingizia mtu ni mpumbavu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Amchukiaye mwingine kwa siri ni mnafiki, anayemsingizia mtu ni mpumbavu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Amchukiaye mwingine kwa siri ni mnafiki, anayemsingizia mtu ni mpumbavu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Yeye afichaye chuki yake ana midomo ya uongo, na yeyote anayeeneza uchonganishi ni mpumbavu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Yeye afichaye chuki yake ana midomo ya uongo, na yeyote anayeeneza uchonganishi ni mpumbavu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Yeye afichaye chuki ana midomo ya uongo, Na yeye asingiziaye ni mpumbavu.

Tazama sura Nakili




Methali 10:18
18 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Abneri alipokuwa amerudi Hebroni, Yoabu akamchukua kando hadi katikati ya lango, ili aseme naye kwa faragha; akampiga mkuki wa tumbo huko, hadi akafa; kwa ajili ya damu ya Asaheli, ndugu yake.


Amsingiziaye jirani yake kwa siri, Huyo nitamwangamiza. Mwenye macho ya kiburi na moyo wa majivuno, Huyo sitamvumilia.


Husemezana yasiyofaa kila mtu na mwenziwe, Wenye midomo ya kujipendekeza; Husemezana kwa mioyo ya unafiki;


Asiyesingizia kwa ulimi wake. Wala kumtenda mwenziwe mabaya, Wala kumsengenya jirani yake.


Maana vinywani mwao hamna uaminifu; Moyo wao ni shimo tupu, koo lao ni kaburi wazi, Ulimi wao hujipendekeza.


Umekaa na kumsengenya ndugu yako, Na mwana wa mama yako umemsingizia.


Kinywa chake ni laini kuliko siagi, Bali moyo wake ni vita. Maneno yake ni mororo kuliko mafuta, Lakini yanakata kama upanga mkali.


Usivumishe habari za uongo; usishirikiane na mwovu kwa kuwa shahidi wa uongo.


Ni waasi kupita kiasi wote pia, waendao huku na huko wakisingizia, ni shaba na chuma hao, hutenda dhuluma wote pia.


Jihadharini, kila mtu na jirani yake, wala msimtumaini ndugu awaye yote; maana kila ndugu atachongea, na kila jirani atakwenda huku na huko na kusingizia.


Usiende huku na huko katikati ya watu wako, kama mchongezi; wala usijifaidi kwa damu ya jirani yako; mimi ndimi BWANA.


Naye Sauli akazidi kumwogopa Daudi; tangu wakati huo, Sauli akawa adui yake Daudi daima.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo