Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 10:19 - Swahili Revised Union Version

Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na maovu; Bali yeye azuiaye midomo yake hufanya akili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Penye maneno mengi hapakosekani makosa, lakini aneyeuzuia ulimi wake ana busara.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Penye maneno mengi hapakosekani makosa, lakini aneyeuzuia ulimi wake ana busara.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Penye maneno mengi hapakosekani makosa, lakini aneyeuzuia ulimi wake ana busara.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Dhambi haiondolewi kwa maneno mengi, bali wenye busara huzuia ulimi wao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati maneno ni mengi, dhambi haikosekani, lakini yeye ambaye huzuia ulimi wake ni mwenye busara.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na maovu; Bali yeye azuiaye midomo yake hufanya akili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 10:19
13 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Huu wingi wa maneno usijibiwe? Na mtu aliyejaa maneno, je! Ahesabiwe kuwa na haki?


Nilisema, Nitazitunza njia zangu Nisije nikakosa kwa ulimi wangu; Nitajitia lijamu kinywani, Maadamu mtu mbaya awapo mbele yangu.


Asiye na akili humdharau mwenziwe; Bali mtu aliye na ufahamu hunyamaza.


Mwenye udaku hupitapita akifunua siri; Bali mwenye roho ya uaminifu husitiri mambo.


Mwanadamu mwenye busara husitiri maarifa; Bali moyo wa wapumbavu hutangaza upumbavu.


Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.


Jitunze mguu wako uendapo nyumbani kwa Mungu; Maana ni heri kukaribia ili usikie, Kuliko kutoa kafara ya wapumbavu; Ambao hawajui kuwa wafanya mabaya.


Usiseme maneno ya ujinga kwa kinywa chako, wala moyo wako usiwe na haraka kunena mbele za Mungu; kwa maana, Mungu yuko mbinguni, na wewe upo chini, Kwa hiyo maneno yako na yawe machache.


Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno.


Hayo mnajua, ndugu zangu wapenzi. Basi kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika;


Maana twajikwaa sisi sote pia katika mambo mengi. Mtu asiyejikwaa katika kunena, huyo ni mtu mkamilifu, awezaye kuuzuia na mwili wake wote kama kwa lijamu.