Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 11:15 - Swahili Revised Union Version

Mwenye masikio, na asikie.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenye masikio na asikie!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenye masikio na asikie!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenye masikio na asikie!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye aliye na masikio, na asikie.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye aliye na masikio, na asikie.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwenye masikio, na asikie.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 11:15
17 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini nitakifananisha na nini kizazi hiki? Kimefanana na watoto wanaokaa sokoni, wanaowaita wenzao, wakisema,


Ndipo wenye haki watakapong'aa kama jua katika ufalme wa Baba yao. Mwenye masikio, na asikie.


Mwenye masikio na asikie.


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.


Akasema, Aliye na masikio ya kusikilia, na asikie.


Hakuna kitu kilicho nje ya mtu ambacho kikimwingia chaweza kumtia unajisi, bali vile vimtokavyo, ndivyo vimtiavyo unajisi yule mtu. [


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.]


Haiifai nchi wala jaa; watu huitupa nje. Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.


Nyingine zikaanguka penye udongo mzuri; zikamea, zikazaa moja kwa mia. Alipokuwa akinena hayo alipaza sauti akisema, Mwenye masikio ya kusikizia, na asikie.


Mtu akiwa na sikio na asikie.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye anayelipokea.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.