Ufunuo 2:11 - Swahili Revised Union Version11 Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 “Aliye na masikio, basi, na asikie yale Roho anayoyaambia makanisa! “Mshindi hataumizwa na kifo cha pili. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 “Aliye na masikio, basi, na asikie yale Roho anayoyaambia makanisa! “Mshindi hataumizwa na kifo cha pili. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 “Aliye na masikio, basi, na asikie yale Roho anayoyaambia makanisa! “Mshindi hataumizwa na kifo cha pili. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho wa Mungu ayaambia makundi ya waumini. Yeye ashindaye hatadhuriwa kamwe na mauti ya pili. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 “Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho ayaambia makundi ya waumini. Yeye ashindaye hatadhuriwa kamwe na mauti ya pili. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili. Tazama sura |