Ufunuo 2:12 - Swahili Revised Union Version12 Na kwa malaika wa kanisa lililoko Pergamo andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye na huo upanga mkali, wenye makali kuwili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 “Kwa malaika wa kanisa la Pergamumu andika: “Mimi niliye na upanga mkali wenye makali kuwili nasema hivi: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 “Kwa malaika wa kanisa la Pergamumu andika: “Mimi niliye na upanga mkali wenye makali kuwili nasema hivi: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 “Kwa malaika wa kanisa la Pergamumu andika: “Mimi niliye na upanga mkali wenye makali kuwili nasema hivi: Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 “Kwa malaika wa kundi la waumini lililoko Pergamo, andika: Haya ndio maneno yake yeye aliye na upanga mkali wenye makali kuwili. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 “Kwa malaika wa kundi la waumini lililoko Pergamo, andika: “Haya ndiyo maneno yake yeye aliye na upanga mkali wenye makali kuwili. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Na kwa malaika wa kanisa lililoko Pergamo andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye na huo upanga mkali, wenye makali kuwili. Tazama sura |