Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 4:9 - Swahili Revised Union Version

9 Akasema, Aliye na masikio ya kusikilia, na asikie.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Kisha akawaambia, “Mwenye masikio na asikie!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Kisha akawaambia, “Mwenye masikio na asikie!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Kisha akawaambia, “Mwenye masikio na asikie!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Kisha Isa akasema, “Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Kisha Isa akasema, “Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Akasema, Aliye na masikio ya kusikilia, na asikie.

Tazama sura Nakili




Marko 4:9
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye masikio, na asikie.


Mwenye masikio na asikie.


Akawaita makutano akawaambia


Naye alipokuwa peke yake, wale watu waliomzunguka, na wale Kumi na Wawili, walimwuliza kuhusu ile mifano.


Sikilizeni; Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda;


Nyingine zikaanguka penye udongo ulio mzuri, zikazaa matunda, zikimea na kukua, na kuzaa, moja thelathini, moja sitini, na moja mia.


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.]


Jiangalieni basi jinsi msikiavyo; kwa kuwa mwenye kitu atapewa, na yule asiye na kitu atanyang'anywa hata kile ambacho anadhaniwa kuwa nacho.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo