Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ufunuo 2:29 - Swahili Revised Union Version

29 Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 “Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 “Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 “Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho wa Mungu ayaambia makundi ya waumini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho ayaambia makundi ya waumini.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

29 Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 2:29
3 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.]


Basi kanisa likapata raha kote katika Yudea na Galilaya na Samaria, likajengwa, likiendelea na kuongezeka katika kicho cha Bwana, na faraja ya Roho Mtakatifu.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo