Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ufunuo 3:6 - Swahili Revised Union Version

6 Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 “Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 “Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 “Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho wa Mungu ayaambia makundi ya waumini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho ayaambia makundi ya waumini.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 3:6
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye masikio, na asikie.


Mwenye masikio na asikie.


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.]


Nyingine zikaanguka penye udongo mzuri; zikamea, zikazaa moja kwa mia. Alipokuwa akinena hayo alipaza sauti akisema, Mwenye masikio ya kusikizia, na asikie.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo