Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 11:14 - Swahili Revised Union Version

14 Na ikiwa mnataka kukubali, yeye ndiye Eliya atakayekuja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Kama mwaweza kukubali basi, Yohane ndiye Elia ambaye angekuja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Kama mwaweza kukubali basi, Yohane ndiye Elia ambaye angekuja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Kama mwaweza kukubali basi, Yohane ndiye Elia ambaye angekuja.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Ikiwa mko tayari kukubali hilo, yeye ndiye yule Ilya ambaye manabii walikuwa wamesema angekuja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Ikiwa mko tayari kukubali hilo, yeye ndiye yule Ilya ambaye manabii walikuwa wamesema angekuja.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Na ikiwa mnataka kukubali, yeye ndiye Eliya atakayekuja.

Tazama sura Nakili




Mathayo 11:14
12 Marejeleo ya Msalaba  

Nao, iwe watasikia au hawataki kusikia, (maana ndio nyumba ya kuasi hao), hata hivyo watajua ya kuwa nabii amekuwako miongoni mwao.


Angalieni, namtuma mjumbe wangu, naye ataitengeneza njia mbele yangu; naye Bwana mnayemtafuta atalijia katika hekalu lake ghafla; naam, yule mjumbe wa agano mnayemfurahia, angalieni, anakuja, asema BWANA wa majeshi.


Angalieni, nitawatumia Eliya nabii, kabla siku ile ya BWANA, iliyo kuu na ya kuogofya haijafika.


Kwa maana manabii wote na Torati walitabiri mpaka wakati wa Yohana.


Naye atatangulia mbele zake katika roho ya Eliya, na nguvu zake, ili kuigeuza mioyo ya baba iwaelekee watoto, na kuwatilia waasi akili za wenye haki, na kumwekea Bwana tayari watu waliotayarishwa.


Hata bado ningali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamuwezi kuyastahimili hivi sasa.


Niliwanywesha maziwa sikuwalisha chakula; kwa kuwa mlikuwa hamjakiweza. Naam, hata sasa hamkiwezi,


Kisha nikaona viti vya enzi, wakaketi juu yake, nao wakapewa mamlaka ya kutoa hukumu; nami nikaona roho zao waliokatwa vichwa kwa ajili ya ushuhuda wa Yesu, na kwa ajili ya neno la Mungu, na hao wasiomsujudia yule mnyama, wala sanamu yake, wala kuipokea ile chapa katika vipaji vya nyuso zao, wala katika mikono yao; nao wakawa hai, wakatawala pamoja na Kristo miaka elfu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo