Mathayo 11:14 - Swahili Revised Union Version14 Na ikiwa mnataka kukubali, yeye ndiye Eliya atakayekuja. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Kama mwaweza kukubali basi, Yohane ndiye Elia ambaye angekuja. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Kama mwaweza kukubali basi, Yohane ndiye Elia ambaye angekuja. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Kama mwaweza kukubali basi, Yohane ndiye Elia ambaye angekuja. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Ikiwa mko tayari kukubali hilo, yeye ndiye yule Ilya ambaye manabii walikuwa wamesema angekuja. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Ikiwa mko tayari kukubali hilo, yeye ndiye yule Ilya ambaye manabii walikuwa wamesema angekuja. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Na ikiwa mnataka kukubali, yeye ndiye Eliya atakayekuja. Tazama sura |
Kisha nikaona viti vya enzi, wakaketi juu yake, nao wakapewa mamlaka ya kutoa hukumu; nami nikaona roho zao waliokatwa vichwa kwa ajili ya ushuhuda wa Yesu, na kwa ajili ya neno la Mungu, na hao wasiomsujudia yule mnyama, wala sanamu yake, wala kuipokea ile chapa katika vipaji vya nyuso zao, wala katika mikono yao; nao wakawa hai, wakatawala pamoja na Kristo miaka elfu.