Mathayo 11:13 - Swahili Revised Union Version13 Kwa maana manabii wote na Torati walitabiri mpaka wakati wa Yohana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Mafundisho yote ya manabii na sheria mpaka wakati wa Yohane yalibashiri juu ya nyakati hizi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Mafundisho yote ya manabii na sheria mpaka wakati wa Yohane yalibashiri juu ya nyakati hizi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Mafundisho yote ya manabii na sheria mpaka wakati wa Yohane yalibashiri juu ya nyakati hizi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Kwa maana manabii wote na Torati walitabiri hadi wakati wa Yahya. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Kwa maana manabii wote na Torati walitabiri mpaka wakati wa Yahya. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Kwa maana manabii wote na Torati walitabiri mpaka wakati wa Yohana. Tazama sura |