Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 13:9 - Swahili Revised Union Version

9 Mwenye masikio na asikie.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Mwenye masikio na asikie!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Mwenye masikio na asikie!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Mwenye masikio na asikie!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Mwenye masikio na asikie.

Tazama sura Nakili




Mathayo 13:9
14 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye masikio, na asikie.


Wakaja wanafunzi, wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa mifano?


Lakini, heri macho yenu, kwa kuwa yanaona; na masikio yenu, kwa kuwa yanasikia.


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.


Akasema, Aliye na masikio ya kusikilia, na asikie.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye anayelipokea.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo