Luka 14:35 - Swahili Revised Union Version35 Haiifai nchi wala jaa; watu huitupa nje. Mwenye masikio ya kusikia, na asikie. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema35 Haifai kitu wala kwa udongo wala kwa mbolea. Watu huitupilia mbali. Mwenye masikio na asikie!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND35 Haifai kitu wala kwa udongo wala kwa mbolea. Watu huitupilia mbali. Mwenye masikio na asikie!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza35 Haifai kitu wala kwa udongo wala kwa mbolea. Watu huitupilia mbali. Mwenye masikio na asikie!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu35 Haifai ardhi wala kwa lundo la mbolea, bali hutupwa nje. “Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu35 Haifai ardhi wala kwa lundo la mbolea, bali hutupwa nje. “Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI35 Haiifai nchi wala jaa; watu huitupa nje. Mwenye masikio ya kusikia, na asikie. Tazama sura |