Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 14:35 - Swahili Revised Union Version

35 Haiifai nchi wala jaa; watu huitupa nje. Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Haifai kitu wala kwa udongo wala kwa mbolea. Watu huitupilia mbali. Mwenye masikio na asikie!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Haifai kitu wala kwa udongo wala kwa mbolea. Watu huitupilia mbali. Mwenye masikio na asikie!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Haifai kitu wala kwa udongo wala kwa mbolea. Watu huitupilia mbali. Mwenye masikio na asikie!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Haifai ardhi wala kwa lundo la mbolea, bali hutupwa nje. “Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Haifai ardhi wala kwa lundo la mbolea, bali hutupwa nje. “Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

35 Haiifai nchi wala jaa; watu huitupa nje. Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.

Tazama sura Nakili




Luka 14:35
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye masikio, na asikie.


Mwenye masikio na asikie.


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.


Akajibu akamwambia, Bwana, uuache mwaka huu nao, hata niupalilie, niutilie samadi;


Nyingine zikaanguka penye udongo mzuri; zikamea, zikazaa moja kwa mia. Alipokuwa akinena hayo alipaza sauti akisema, Mwenye masikio ya kusikizia, na asikie.


Yashikeni maneno haya masikioni mwenu, kwa kuwa Mwana wa Adamu anakwenda kutiwa katika mikono ya watu.


Mtu asipokaa ndani yangu, hutupwa nje kama tawi na kunyauka; watu huyakusanya na kuyatupa motoni yakateketea.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye anayelipokea.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo