Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ufunuo 13:9 - Swahili Revised Union Version

9 Mtu akiwa na sikio na asikie.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Aliye na masikio, na asikie!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Aliye na masikio, na asikie!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Aliye na masikio, na asikie!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Yeye aliye na sikio na asikie.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Yeye aliye na sikio na asikie.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Mtu akiwa na sikio na asikie.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 13:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye masikio, na asikie.


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.


Nyingine zikaanguka penye udongo mzuri; zikamea, zikazaa moja kwa mia. Alipokuwa akinena hayo alipaza sauti akisema, Mwenye masikio ya kusikizia, na asikie.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye anayelipokea.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo