Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 3:4 - Swahili Revised Union Version

Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri, Mbele za Mungu na mbele ya mwanadamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo utakubalika na kusifika, mbele ya Mungu na mbele ya wanadamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo utakubalika na kusifika, mbele ya Mungu na mbele ya wanadamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo utakubalika na kusifika, mbele ya Mungu na mbele ya wanadamu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo utapata kibali na jina zuri mbele za Mungu na mwanadamu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo utapata kibali na jina zuri mbele za Mungu na mwanadamu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri, Mbele za Mungu na mbele ya mwanadamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 3:4
14 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini BWANA akawa pamoja na Yusufu, akamfadhili, akampa kibali machoni pa mkuu wa gereza.


Kumcha BWANA ndio mwanzo wa hekima, Wote wafanyao hayo wana ufahamu mzuri, Sifa zake zadumu milele.


Mtu mwema atapata upendeleo kwa BWANA; Bali mtu wa hila atahukumiwa naye.


Ufahamu mwema huleta upendeleo; Bali njia ya muasi huangamiza.


Maana yeye anionaye mimi aona uzima, Naye atapata kibali kwa BWANA.


Basi Mungu alimjalia Danieli kupata kibali na huruma machoni pa huyo mkuu wa matowashi.


Naye Yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.


wakimsifu Mungu, na kuwapendeza watu wote. Bwana akalizidisha kanisa kila siku kwa wale waliokuwa wakiokolewa.


Kwa kuwa yeye amtumikiaye Kristo katika mambo hayo humpendeza Mungu, tena hukubaliwa na wanadamu.


tukitangulia kufikiri yaliyo mema, si mbele za Bwana tu, ila na mbele ya wanadamu.


Naye BWANA akamwangalia Hana, naye akachukua mimba, akazaa watoto, watatu wa kiume na wawili wa kike. Naye huyo mtoto Samweli akakua mbele za BWANA.


Na yule mtoto, Samweli, akazidi kukua akapata kibali kwa BWANA, na kwa watu pia.