Methali 8:35 - Swahili Revised Union Version35 Maana yeye anionaye mimi aona uzima, Naye atapata kibali kwa BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema35 Anayenipata mimi amepata uhai, amepata upendeleo kwa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND35 Anayenipata mimi amepata uhai, amepata upendeleo kwa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza35 Anayenipata mimi amepata uhai, amepata upendeleo kwa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu35 Kwa maana yeyote anipataye mimi amepata uzima, na kujipatia kibali kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu35 Kwa maana yeyote anipataye mimi amepata uzima, na kujipatia kibali kutoka kwa bwana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI35 Maana yeye anionaye mimi aona uzima, Naye atapata kibali kwa BWANA. Tazama sura |