Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 8:34 - Swahili Revised Union Version

34 Ana heri mtu yule anisikilizaye, Akisubiri sikuzote malangoni pangu, Akingoja penye vizingiti vya milango yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Heri mtu anayenisikiliza, anayekaa kila siku mlangoni pangu, anayekesha karibu na milango yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Heri mtu anayenisikiliza, anayekaa kila siku mlangoni pangu, anayekesha karibu na milango yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Heri mtu anayenisikiliza, anayekaa kila siku mlangoni pangu, anayekesha karibu na milango yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Heri mtu yule anisikilizaye mimi, akisubiri siku zote malangoni mwangu, akingoja kwenye vizingiti vya mlango wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Heri mtu yule anisikilizaye mimi, akisubiri siku zote malangoni mwangu, akingoja kwenye vizingiti vya mlango wangu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

34 Ana heri mtu yule anisikilizaye, Akisubiri siku zote malangoni pangu, Akingoja penye vizingiti vya milango yangu.

Tazama sura Nakili




Methali 8:34
17 Marejeleo ya Msalaba  

Heri watu wako, na heri watumishi hawa wako, wasimamao mbele yako siku zote, wakisikia hekima yako.


Neno moja nimelitaka kwa BWANA, Nalo ndilo nitakalolitafuta, Nikae nyumbani mwa BWANA Siku zote za maisha yangu, Niutazame uzuri wa BWANA, Na kutafakari hekaluni mwake.


Hakika siku moja katika nyua zako Ni bora kuliko siku elfu kwingineko; Ningependa kuwa bawabu nyumbani mwa Mungu wangu, Kuliko kuishi katika hema za uovu.


Waliopandwa katika nyumba ya BWANA Watastawi katika nyua za Mungu wetu.


Nao watatwaa baadhi ya damu yake na kuitia katika miimo miwili na katika kizingiti cha juu, katika zile nyumba watakazomla.


Hulia penye mikutano mikubwa ya watu, Mahali pa kuyaingilia malango, Ndani ya mji hutamka maneno yake.


Heri mtu yule aonaye hekima, Na mtu yule apataye ufahamu.


Yeye ni mti wa uzima kwao wamshikao sana; Ana heri kila mtu anayeshikamana naye.


Basi kila asikiaye hayo maneno yangu, na kuyafanya, atafananishwa na mtu mwenye akili, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba;


Na wote wawili walikuwa wenye haki mbele za Mungu, wakiishi katika amri zote za Bwana na maagizo yake bila lawama.


Naye alikuwa na dada yake aitwaye Mariamu, aliyeketi miguuni pake Yesu, akasikiliza maneno yake.


Lakini yeye alisema, Afadhali, heri walisikiao neno la Mungu na kulishika.


Wakawa wakidumu katika fundisho la mitume, na katika ushirika, na katika kuumega mkate, na katika kusali.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo