Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 3:4 - Swahili Revised Union Version

4 Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri, Mbele za Mungu na mbele ya mwanadamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Hivyo utakubalika na kusifika, mbele ya Mungu na mbele ya wanadamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Hivyo utakubalika na kusifika, mbele ya Mungu na mbele ya wanadamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Hivyo utakubalika na kusifika, mbele ya Mungu na mbele ya wanadamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Ndipo utapata kibali na jina zuri mbele za Mungu na mwanadamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Ndipo utapata kibali na jina zuri mbele za Mungu na mwanadamu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri, Mbele za Mungu na mbele ya mwanadamu.

Tazama sura Nakili




Methali 3:4
14 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini BWANA akawa pamoja na Yusufu, akamfadhili, akampa kibali machoni pa mkuu wa gereza.


Kumcha BWANA ndio mwanzo wa hekima, Wote wafanyao hayo wana ufahamu mzuri, Sifa zake zadumu milele.


Mtu mwema atapata upendeleo kwa BWANA; Bali mtu wa hila atahukumiwa naye.


Ufahamu mwema huleta upendeleo; Bali njia ya muasi huangamiza.


Maana yeye anionaye mimi aona uzima, Naye atapata kibali kwa BWANA.


Basi Mungu alimjalia Danieli kupata kibali na huruma machoni pa huyo mkuu wa matowashi.


Naye Yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.


wakimsifu Mungu, na kuwapendeza watu wote. Bwana akalizidisha kanisa kila siku kwa wale waliokuwa wakiokolewa.


Kwa kuwa yeye amtumikiaye Kristo katika mambo hayo humpendeza Mungu, tena hukubaliwa na wanadamu.


tukitangulia kufikiri yaliyo mema, si mbele za Bwana tu, ila na mbele ya wanadamu.


Naye BWANA akamwangalia Hana, naye akachukua mimba, akazaa watoto, watatu wa kiume na wawili wa kike. Naye huyo mtoto Samweli akakua mbele za BWANA.


Na yule mtoto, Samweli, akazidi kukua akapata kibali kwa BWANA, na kwa watu pia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo