Danieli 1:9 - Swahili Revised Union Version9 Basi Mungu alimjalia Danieli kupata kibali na huruma machoni pa huyo mkuu wa matowashi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Basi, Mungu akamjalia Danieli kupendelewa na kuhurumiwa na Ashpenazi, towashi mkuu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Basi, Mungu akamjalia Danieli kupendelewa na kuhurumiwa na Ashpenazi, towashi mkuu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Basi, Mungu akamjalia Danieli kupendelewa na kuhurumiwa na Ashpenazi, towashi mkuu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Basi Mungu alikuwa amemfanya huyo mkuu wa maafisa kuonesha upendeleo na huruma kwa Danieli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Basi Mungu alikuwa amemfanya huyo mkuu wa maafisa kuonyesha upendeleo na huruma kwa Danieli, Tazama suraSwahili Roehl Bible 19379 Mungu akampatia Daniel upendeleo na utu mbele yake mkuu wa watumishi wa nyumbani. Tazama sura |