2 Wakorintho 8:21 - Swahili Revised Union Version21 tukitangulia kufikiri yaliyo mema, si mbele za Bwana tu, ila na mbele ya wanadamu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Nia yetu ni kufanya vema, si mbele ya Bwana tu, lakini pia mbele ya watu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Nia yetu ni kufanya vema, si mbele ya Bwana tu, lakini pia mbele ya watu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Nia yetu ni kufanya vema, si mbele ya Bwana tu, lakini pia mbele ya watu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Kwa kuwa tunakusudia kufanya kile kilicho haki, si machoni mwa Bwana Isa peke yake, bali pia machoni mwa wanadamu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Kwa kuwa tunakusudia kufanya kile kilicho haki, si machoni mwa Bwana Isa peke yake, bali pia machoni mwa watu wengine. Tazama sura |