Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 24:8 - Swahili Revised Union Version

Mtu afikiriye kutenda maovu, Watu watamwita mtundu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Afikiriaye kutenda maovu daima ataitwa mtu mwenye fitina.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Afikiriaye kutenda maovu daima ataitwa mtu mwenye fitina.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Afikiriaye kutenda maovu daima ataitwa mtu mwenye fitina.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye apangaye mabaya atajulikana kama mtu wa hila.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye apangaye mabaya atajulikana kama mtu wa hila.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu afikiriye kutenda maovu, Watu watamwita mtundu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 24:8
12 Marejeleo ya Msalaba  

Tena, mfalme akamwambia Shimei, Umejua uovu wote uliouona moyoni mwako, uliomtenda Daudi baba yangu; basi kwa hiyo BWANA atakurudishia uovu wako kichwani pako mwenyewe.


Wakipanga kukutenda mabaya, Kwa miango ya hila, hawatafanikiwa.


Je! Hawakosi wawazao mabaya? Bali fadhili na kweli zina wao wawazao mema.


Kwa maana moyo wao hufikiri dhuluma, Na midomo yao huongea madhara.


Fikira za mpumbavu ni dhambi, Na mwenye mzaha huwachukiza watu.


Mna upotovu moyoni mwake, hutunga uovu daima, Hupanda mbegu za magomvi.


Moyo uwazao mawazo mabaya; Miguu iliyo myepesi kukimbilia maovu;


Tena vyombo vyake mlaghai ni vibaya; hutunga hila mbaya, ili kuwaangamiza wanyonge kwa maneno ya uongo, mtu mhitaji ajaposema maneno yenye haki.


Ametoka mmoja kwako, akusudiaye mabaya juu ya BWANA, atoaye mashauri yasiyofaa kitu.


wenye kusingizia, wenye kumchukia Mungu, wenye jeuri, wenye kutakabari, wenye majivuno, wenye kutunga mabaya, wasiowatii wazazi wao,