Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 24:7 - Swahili Revised Union Version

7 Kwa mpumbavu hekima haipatikani; Hafumbui kinywa chake langoni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Kwa mpumbavu hekima ni ngumu kuielewa; penye mkutano wa mashauri hafungui mdomo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Kwa mpumbavu hekima ni ngumu kuielewa; penye mkutano wa mashauri hafungui mdomo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Kwa mpumbavu hekima ni ngumu kuielewa; penye mkutano wa mashauri hafungui mdomo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Hekima i juu mno kwa mpumbavu, katika kusanyiko langoni hana lolote la kusema.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Hekima i juu mno kwa mpumbavu, katika kusanyiko langoni hana lolote la kusema.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Kwa mpumbavu hekima haipatikani; Hafumbui kinywa chake langoni.

Tazama sura Nakili




Methali 24:7
21 Marejeleo ya Msalaba  

Ikiwa nimewainulia mayatima mkono, Nilipoona msaada wangu langoni;


Watoto wake wako mbali na wokovu, Nao wamesongwa langoni, Wala hapana atakayewaponya.


Njia zake ni thabiti kila wakati. Hukumu zako ziko juu asizione, Adui zake wote awakaripia.


Heri mtu yule Aliyelijaza podo lake hivyo. Naam, hawataona aibu Wanaposema na adui langoni.


Mwenye dharau hutafuta hekima, asiipate; Bali maarifa huwa mepesi kwa mwenye ufahamu.


Kwa mtu mwenye akili njia ya uhai huenda juu; Ili atoke katika kuzimu chini.


Nini maana yake, mpumbavu kuwa na fedha mkononi mwake ya kununulia hekima, Ikiwa hana moyo wa ufahamu?


Hekima huwa machoni pake mwenye ufahamu; Bali macho ya mpumbavu huwa katika ncha za dunia.


Maneno mazuri hayapendezi kinywani mwa mpumbavu; Sembuse midomo ya uongo kinywani mwa mkuu.


Usimnyang'anye maskini, kwa kuwa ni maskini; Wala usimdhulumu mtu mnyonge langoni;


Watu waovu hawaelewi na haki; Bali wamtafutao BWANA huelewa na zote.


Mume wake hujulikana malangoni; Aketipo pamoja na wazee wa nchi.


hao wamfanyao mtu kuwa amekosa katika neno, na kumtegea mtego yeye aonyaye langoni, na kumgeuza mwenye haki kwa kitu kisichofaa.


Maana mpumbavu atanena yaliyo upumbavu, na moyo wake utafanya maovu, ili kutenda hila na kusema yasiyo kweli juu ya BWANA, ili kuziacha nafsi za watu wenye njaa bila chakula, na kuwanyima kinywaji wenye kiu.


Wao humchukia yeye akemeaye langoni, nao humzira anenaye maneno ya adili.


Maana mimi najua jinsi maasi yenu yalivyo mengi, na jinsi dhambi zenu zilivyo kubwa; ninyi mnaowaonea wenye haki, mnaopokea rushwa, na kuwageuza wahitaji langoni wasipate haki yao.


Yachukieni mabaya; yapendeni mema; mkaithibitishe haki langoni; yamkini kwamba BWANA, Mungu wa majeshi, atawafanyia fadhili mabaki ya Yusufu.


Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo