Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 24:8 - Swahili Revised Union Version

8 Mtu afikiriye kutenda maovu, Watu watamwita mtundu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Afikiriaye kutenda maovu daima ataitwa mtu mwenye fitina.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Afikiriaye kutenda maovu daima ataitwa mtu mwenye fitina.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Afikiriaye kutenda maovu daima ataitwa mtu mwenye fitina.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Yeye apangaye mabaya atajulikana kama mtu wa hila.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Yeye apangaye mabaya atajulikana kama mtu wa hila.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Mtu afikiriye kutenda maovu, Watu watamwita mtundu;

Tazama sura Nakili




Methali 24:8
12 Marejeleo ya Msalaba  

Tena, mfalme akamwambia Shimei, Umejua uovu wote uliouona moyoni mwako, uliomtenda Daudi baba yangu; basi kwa hiyo BWANA atakurudishia uovu wako kichwani pako mwenyewe.


Wakipanga kukutenda mabaya, Kwa miango ya hila, hawatafanikiwa.


Je! Hawakosi wawazao mabaya? Bali fadhili na kweli zina wao wawazao mema.


Kwa maana moyo wao hufikiri dhuluma, Na midomo yao huongea madhara.


Fikira za mpumbavu ni dhambi, Na mwenye mzaha huwachukiza watu.


Mna upotovu moyoni mwake, hutunga uovu daima, Hupanda mbegu za magomvi.


Moyo uwazao mawazo mabaya; Miguu iliyo myepesi kukimbilia maovu;


Tena vyombo vyake mlaghai ni vibaya; hutunga hila mbaya, ili kuwaangamiza wanyonge kwa maneno ya uongo, mtu mhitaji ajaposema maneno yenye haki.


Ametoka mmoja kwako, akusudiaye mabaya juu ya BWANA, atoaye mashauri yasiyofaa kitu.


wenye kusingizia, wenye kumchukia Mungu, wenye jeuri, wenye kutakabari, wenye majivuno, wenye kutunga mabaya, wasiowatii wazazi wao,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo